PICHA ZA WAREMBO WATAKAO SHIRIKI MISS TEMEKE 2014 WAKIWA KATIKA MAPOZI TOFAUTI BAADAYA MAZOEZI.
Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd's Miss Temeke, wakipozi wakati wa mazoezi katika Klabu ya TCC, Chang'ombe, Dar es Salaam. Mashindano yatafanyika kwenye klabu hiyo, Agosti 22,mwaka huu.
0 comments:
Post a Comment