Mashindano ya kumtafuta mlimbwende atakaye ipeperusha bendera ya Tanzania kitaifa na kimataifa yatafikia kilele kesho katika fainali zitakazofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam.
Redds Miss
Tanzania 2014.
Usikose kutazama fainali hizi zitakazorushwa LIVE na StarTV. Mchakato utaanza saa moja jioni.
0 comments:
Post a Comment